JAMII HURU NA MZEE WA NAKOZI
Saturday, October 13, 2012
AJALI MKUZA MOROGORO
Leo asubuhi eneo la Mkuza katika barabara kuu iendayo Morogoro, baada malori haya kugongana uso kwa uso na kusababisha moto. Sikuweza kupata taarifa yoyote ya vifo au majeruhi!! katika ajali hiyo mbaya..
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment