Monday, July 28, 2014

ZIARA BUNGENI, WANANCHI 100 WAKIWA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 12.06.2014 WAKISIKILIZA KUSOMWA BAJETI YA SERIKALI. ZIARA ILIFADHILIWA NA DEO FILIKUNJOMBE MBUNGE WA LUDEWA (CCM)

 Wananchi 100 wa Ludewa wakiwa ndani ya Bunge
 Bungeni
 Wananchi wa Ludewa wakisalimiana na waziri mkuu mizengo Pinda nje ya ukumbi wa Bunge muda mfupi baada ya kumalizika kusomwa bajeti ya serikali.

 Vita Kawawa akisalimiana na wananchi wa Ludewa nje ya ukumbi wa Bunge
 Waziri mkuu mizengo pinda akisalimiana na na mwenyekiti wa ccm wilaya ya Ludewa Stanley Kolimba nje ya ukumbi wa Bunge
 picha ya pamoja nje ya ukumbi wa Bunge




    Picha ya pamoja nje ya ukumbi wa Bunge


No comments:

Post a Comment