Mkuu wa mkoa wa Njombe Captain Mstaafu Asseri Msangi akikabidhiwa madawati 680 na Meneja mauzo wa Tigo mkoa wa Iringa bwana Ladislaus Karlo leo kuokoa jahazi la upungufu wa madawati mashuleni.
Mkuu
wa mkoa wa Njomba na Mgeni rasmi, Kapteni mstaafu Asery Msangi katikati
akiangalia moja ya madawati 680 yaliyotolewa kama msaada kwa shule za
mkoa huo, kulia ni Meneja Mauzo mkoa wa Iringa Ladislaus Karlo na
kushoto ni Mkurugenzi Hassan Maajar Trust Zena Maajar Tenga na mmoja
wa watoto wa shule hizo.
Wanafunzi wakiwa wamekaa kwenye madawati mara baada ya kukabidhiwa rasmi.
No comments:
Post a Comment