Wednesday, October 24, 2012

YANGA YAIBUKA NA POINTI 3 DHIDI YA POLISI MOROGORO WALIOFUNGWA 3

 
Mchezaji wa timu ya Yanga ya jijini Dar es salaam David Luhende akimiliki mpira mbele ya Nicholas Kabipe
 
Wachezaji wa timu ya Yanga Jerry Tegete kushoto na Didier Kavumbagu wakishangilia kwa staili ya kucheza mayenu baada ya mchezaji Kavumbagu kuifungiaYanga goli la pili katika kipindi cha kwanza.

No comments:

Post a Comment