Wednesday, August 6, 2014

FILIKUNJOMBE AWATIMUA MKUTANONI MKURUGENZI NA WAKUU WA IDARA. AKAGUA MIRADI NA KUHIMIZA SHUGHULI ZA MAENDELEO














 Hapa akishiriki kushusha saruji,mabati na rangi kwenye lori. saruji hiyo allitoa kwa ajili ya ujenzi wa darasa na nyumba ya mganga katika kijiji cha Mbongo



 Filikunjombe akizindua na kuweka jiwe la msingi katika zahanati ya Ihanga mlangali ndani

 akihutubia mkutano wa hadhara kijiji cha mbongo kata ya Manda
 hapa anapokea zawadi katika kitongoji cha Madindo kata ya mlangali
 pamoja na mh; Elfrida Kilumbo (kizota) diwani wa kata ya manda wakitathmini jinsi ya kumalizia darasa


 akiwasurubu mbele ya wananchi kaimu mkurugenzi halmashauri ya wilaya ya Ludewa Horace Kolimba na Kaimu mganga mkuu Katemba
 akikabidhi saruji ktkmkijiji cha mbongo
 jezi na mipira kwa vijana
 Filikunjombe akituzwa na akina mama baada ya kushiriki ngoma ya ligambusi



 Ligambusi mbongo

 mapokezi kijiji cha Igalu

 wananchi walimkabidhi maji machafu wanayotumia kutoka mto Luhuhu




No comments:

Post a Comment